DEAL DONE CHE MALONE

 


🚨🇨🇲 𝐄𝐗𝐂𝐋: Che Malone anakaribia kuondoka Simba SC!


 Kama ilivyofichuliwa Julai 10, USM Alger wamefikia makubaliano kamili ya kumsajili beki huyo wa Cameroon. ✅


 Malone anatarajiwa kuwasiri nchini Algeria siku ya Jumatano kwa ajili ya Vipimo.✈️


 Hadithi ya kipekee - uthibitisho unakaribia

Post a Comment

Previous Post Next Post