SIMBA YAPIGA DILI ZITO

 


🚨Simba SC wamepiga hatua haraka kutafuta mbadala wa Che Malone, dili lililokamilika mapema leo.


 Beki anayekuja ana kiwango cha juu na anatarajiwa kuchukua jukumu muhimu katika msimu ujao. 


 

Post a Comment

Previous Post Next Post

Popular Items